Monday, August 25, 2014

10 BORA YA TANZANIA MOVIE TALENTS (TMT) WAVAMIA STUDIO ZA TIMES FM 100 JIJINI DAR-ES-SALAAM


 

Waendeshaji wa Kipindi cha Filamu Monata kinachorushwa na Kituo cha Redio cha TIMES FM 100.5 wakiendelea na majukumu katika studio za kituo hiko cha Redio Kilichopo Kawe Jijini Dar Es Salaam wakati wa Kipindi cha Filamu Monata leo wakati washiriki 10 Bora wa Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) walipotembelea Studio hizo 
Jaji wa Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) na Presenta wa Kipindi cha Filamu Monata cha TIMES FM, 100.5 Dar Es Salaam akiendelea na kipindi wakati washiriki 10 bora walipotembelea Kituo hiko leo kwaajili ya Mahojiano na waendeshaji wa Kipindi hiko.
 Mmoja wa Washiriki 10 Bora wa Tanzania Movie Talents (TMT) akijibu maswali kutoka kwa Waendeshaji wa Kipindi cha Filamu Monata kinachorushwa na Kituo cha Redio cha TIMES FM, 100.5 Dar Es Salaam.
Mshiriki Wa Tanzania Movie Talents (TMT) akijibu maswali.
 Washiriki 10 Bora wa Tanzania Movie Talents (TMT) wakiwa ndani ya Studio za TIMES FM, 100.5 Dar es Salaam.Picha Zote na Josephat Lukaza
Fainali ya Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) kufanyika tarehe 30 August 2014 katika Ukumbi wa Mlimani City kuanzia Saa 7.30 Usiku huku viingilio vikiwa Shilingi elfu 50 kwa VIP na Elfu 30 kwa kawaida
Burudani Kali kutolewa siku hiyo ya Fainali Huku Mc Pilipili akitoa burudani na Christian Bella

No comments:

Post a Comment