Saturday, April 18, 2015

PSPF YAZINDUA HUDUMA YA WANACHAMA WAKE KUWASILISHA MICHANGO KUPITIA MAXMALIPO

 

Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni,Vvijana na Michezo, Juma Nkamia, (wapili kulia), Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Adam Mayingu, (wapili kushoto), na Afisa Mtendaji Mkuu wa Maxcom Africa, Juma Rajabu, wakizindua huduma mpya ya wanachama wa Mfuko huo, kuwasilisha michango yao kupitia Maxmalipo. Uzinduzi huo ulifanyika kwenye ofisi za makao makuu wa PSPF, Golden Jubilee, katikati ya jiji leo Alhamisi Aprili 16, 2015. Kulia ni Mkurugenzi Mtendajiwa Glob al Publisher, Erick Shigongo, ambaye ndiye aliyebuni na kushawishi PSPF kutumia huduma hiyo kurahisishia wanachama wake 
Meneja Masoko na Mawasiliano wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Constatina Martin, akizungumza wakati wa hafla hiyo

Naibu Waziri Nkamia

Mkurugenzi Mkuu, PSPF, Adam Mayingu

Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publisher, ambaye ndiye mshawishi wa huduma hiyo, Erick Shigongo

Afisa Mtendaji Mkuu wa Maxcom Africa, Juma Rajabu

Wafanyakazi wa PSPF, wakifurahia hotuba na uzinduzi huo

Kutoka kushoto kwenda kulia, Naibu Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo, Zamaradi Kawawa, Afisa Mtendaji Mkuu wa Maxcom Africa, Juma Rajabu, Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Adam Myingu, Naibu Waziri Juma Nkamia, Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publisher, Erick Shigongo, wakishikana mikono baada ya kuzinduz huduma hiyo

Baadhi ya wafanyakazi wa kampuni ya Maxcom Africa, na wenzao wa PSPF, katika uzinduzi

Baadhi ya maafisa wa PSPF

Wafanyakazi wa PSPF

Mjomba band ikiongozwa na Mrisho Mpoto, ikitumbuiza

Baadhi ya wakurugenzi wa PSPF

Mkurugenzi Mkuu wa PSPF, Adam Mayingu na mwenzake Erick Shigongo, (kushoto), wakiondoka baada ya shughuli hiyo ya uzinduzi

Naibu waziri Nkamia, akijaza fomu za kujiunga na mpango wa uchangiaji wa hiari (PSS)

Naibu waziri Nkamia, akisoma maelezo yaliyomo kwenye fomu hiyo, huku Meneja wa Mpango wa Uchagiaji wa Hiari, (PSS), wa Mfuko wa PSPF, Mwanjaa Seme, (kulia), akisubiri kutoa msaada

Naibu Waziri Nkamia, (katikati), Mkurugenzi Mkuu Mayingu, na mwenzake wa Maxcom, Juma Rajabu, wakipiga makofi mwishoni mwa hafla hiyo

Shigongo(kulia), na mwenzake Juma Rajabu wakijaza fomu za kujiunga na mpango wa PSS wa Mfuko wa Penshni wa PSPF

Naibu waziri Nkamia, (kushoto), akijadiliana jambo na Erick Shigongo, huku Mkurugenzi Mkuu wa PSPF,Adam Mayingu, (watatu kulia), akijadiliana na Afisa Mtendaji Mkuu wa Maxcom Africa, Juma Rajabu, (kulia) na Afisa Uhusiano Mwandamizi wa PSPF, Abdul Njaidi, mwishoni mwa hafla hiyo

No comments:

Post a Comment