Tuesday, February 11, 2014

CCM TABORA MJINI WAZIBUA MITARO YA MAJI MACHAFU HOSPITALI YA KITETE


Mwenyekiti wa ccm wilaya ya Tabora mjini Bw.Moshi Nkonkota(kushoto) akifanya usafi wa mazingira katika hospitali ya mkoa wa Tabora Kitete ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya 37 ya Chama hicho.
Mjumbe wa NEC Bw.John Mchele akifukua mitaro ya maji machafu iliyoziba katika hospitali ya rufaa ya mkoa wa Tabora Kitete.
Katibu wa siasa na Uenezi CCM Tabora mjini Bw.Rashid Ramadhani Maarufu KAMANDA TOLU akipiga jembe kufukua mitaro hiyo inayoizunguuka hospitali ya Kitete ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 37 ya CCM nchini.
Baadhi ya viongozi wa kata wa CCM ambao walihudhuria katika tukio hilo la kufanya usafi wa mazingira hospitali ya Kitete.

No comments:

Post a Comment