Friday, July 18, 2014

WAANDISHI WA HABARI WATAKIWA KUIELIMISHA JAMII KUHUSU DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA LINALOTUMIA TEKNOLOJIA YA BVR

Makamu Mwenyekiti wa tume ya taifa ya Uchaguzi  ambaye pia ni  Jaji mkuu  Mstaafu wa Zanzibar  Mh. Hamid Mahmood Hamid akizungumza na waandishi wa habari wa mkoa wa Tabora kuhusu uboreshaji wa daftari la mpiga kura litakalotumika kwa mwaka 2014-2015.
Baadhi ya waandishi wa habari pamoja na maafisa wa tume ya uandikishaji wa daftari la mpira kura katika mkutano wa tume hiyo na waandishi wa habari uliofanyika katika ukumbi wa ofisi ya mkuu wa mkoa wa Tabora ambapo waandishi waliaswa kuwa mstari wa mbele katika kuihabarisha jamii kujitokeza wakati wa uandikishaji wa daftari la mpiga kura utakapo wadia.

No comments:

Post a Comment