Wednesday, October 22, 2014

RAIS KIKWETE ALIPOTEMBELEA BANDA LA BIMA YA AFYA WAKATI WA WIKI YA VIJANA TABORA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr.Jakaya Kikwete akisisitiza jambo kwa maafisa wa NHIF wakati alipotembelea banda la maonesho la Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya  NHIF wakati wa wiki ya Vijana iliyofanyika kitaifa mkoani Tabora.
Rais Kikwete akisalimiana na baadhi ya maafisa wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya


Rais Kikwete alishuhudia baadhi ya wananchi wakipata huduma za upimaji wa magonjwa mbalimbali shughuli iliyokuwa inafanywa na Mfuko huo wa Bima ya Afya ambapo idadi kubwa ya watu ilijitokeza kupata huduma hiyo.
Baadhi ya maafisa wa Mfuko wa Bima ya Afya wakiwa na Meneja mwandamizi wa Mfuko wa Bima ya Afya kanda ya Magharibi Bw.Emmanuel Adina






No comments:

Post a Comment