Wednesday, November 27, 2013

"ALIYEPIGWA KATIKA OPERESHENI TOKOMEZA HALI YA AFYA YAKE INAZIDI KUWA MBAYA"-SIKONGE

Juma Shabani Kunguwala(50)mkazi wa kijiji cha Tutuo wilaya ya Sikonge ambaye alipatwa na masahibu ya kupigwa na kujeruhiwa vibaya na watu wanaodaiwa kuwa ni maaskari wanaoendesha Operesheni Tokomeza akituhumiwa kuwa alikuwa akimiliki silaha na uwindaji haramu.Majeruhi huyu kwasasa hali yake ya kiafya si nzuri na bado anaendelea kudhoofika siku hadi siku. 
Sehemu ya mkono wa majeruhi huyo.
Juma Kunguwala akiwa amelazwa katika hospitali ya wilaya ya Sikonge akipatiwa matibabu baada ya kujeruhiwa vibaya.


No comments:

Post a Comment