Wednesday, November 27, 2013

SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA-TABORA LIMETOA MSAADA WA VIFAA VYA UJENZI WA HOSPITALI YA WILAYA YA TABORA MJINI


Meneja wa Shirika la nyumba la Taifa NHC Bw.Ladislaus Bamanyisa akimkabidhi Meya wa manispaa  ya  Tabora Bw.Ghulam Dewij msaada wa vifaa  vya ujenzi  wa hospitali ya wilaya ya Tabora mjini ambapo alikabidhi mabati ya aluminium 144 yenye thamani ya shilingi 5,472,000/=na mifuko ya Saruji 245 yenye thamani ya shilingi 4,655,000/=.Jumla ya thamani ya msaada wote ni shilingi 10,127,000/=

No comments:

Post a Comment