Wednesday, November 27, 2013

"MAHUSIANO MAZURI KATIKA JAMII PASIPO KUJALI DINI WALA KABILA NDIO NYENZO PEKEE YA KUPATA MAFANIKIO"


Mjumbe wa halmashauri kuu ya CCM wilaya ya Tabora  mjini  Bw.Emmanuel Adamson Mwakasaka alipokaribishwa katika  Kongamano la dini ya Kiislam lililofanyika katika viwanja vya Uyui Sekondari mjini Tabora ambapo Sheikh Shariff Mikidadi alikuwa ndio kiongozi wa Kongamano hilo lililohudhuriwa na maelfu ya wakazi wa Tabora.

No comments:

Post a Comment