Monday, May 12, 2014

"MUNDE ANAFAA KUCHAGULIWA,KWAKUWA YUPO KARIBU SANA NA WATU"-KINANA


Katibu mkuu wa CCM Bw.Abdulrahman Kinana na mbunge wa vitimaalum mkoa wa Tabora Bi.Munde Tambwe wakiweka mchanga kwenye mashine ya kufyatulia tofali za Saruji katika Mradi wa Jumuiya ya Wanawake wa CCM wilayani Nzega ambapo Mradi huo unafadhiliwa na Bi.Munde kwa thamani ya zaidi ya shilingi milioni 15.
Katibu mkuu wa CCM Bw.Abdulrahman Kinana akikata utepe ikiwa ni Ishara ya kufungua Mradi  wa kufyatua matofali wa Jumuiya ya UWT wilaya ya Nzega wakati wa ziara yake wilayani humo,ambapo mfadhili mkuu wa mradi huo ni Bi.Munde Tambwe.

No comments:

Post a Comment