| Mbunge wa vitmaalum mkoani Tabora Bi.Munde Tambwe akijibu maswali ya wananchi katika mkutano wa hadhara ambapo alieleza mafanikio yaliyopatikana tangu achaguliwe kushika wadhifa huo. |
| Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Tabora Bw.Moshi Abrahamu akikabidhi msaada wa shilingi laki tano kama sehemu ya kukichangia kikundi cha Wajasiliamali cha Wanawake wa kata ya Gongoni. |
| Mbunge wa Jimbo la Tabora mjini Bw.Ismail Aden Rage naye alipata fursa ya kuongea na wananchi na baadae kuulizwa maswali. |
| Viongozi waliohudhuria katika mkutano huo wa wahadhara. |
| Ufunguzi wa tawi wa Wanawake wa CCM tawi la Gongoni |
| Mbunge wa vitimaalum mkoani Tabora Bi.Munde Tambwe akikata utepe ikiwa ni ishara ya ufunguzi wa tawi la UWT Kata ya Gongoni mjini Tabora. |
| Baadhi ya wanaCCM waliohudhuria mkutano huo wa hadhara. |
No comments:
Post a Comment