Sunday, June 15, 2014

WADAU WAPITISHA MAAZIMIO 13 KUBORESHA MFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA TABORA


Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Uyui Bw.Said Ntahondi akizungumza katika ufungaji wa Mkutano wa wadau wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya mkoani Tabora ambapo alisisitiza wadau hao kutekeleza kwa vitendo maazimio 13 yaliyofikiwa katika mkutano huo yakiwa na lengo la kuboresha huduma za mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya  NHIF pamoja na kuhamasisha jamii ijiunge na Mfuko wa Afya ya Jamii CHF ambapo utaratibu wa Tiba kwa Kadi utasaidia jamii kupata huduma za matibabu kwa kila Kaya.



Wadau wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya  katika mkutano Tabora mjini

No comments:

Post a Comment