Friday, August 24, 2012

RAIS MSTAAFU AKIWA NA KAFUMU

Rais mstaafu wa Awamu ya Tatu Benjamin W. Mkapa akiwa na mgombea wa Ubunge Jimbo la Igunga kupitia Chama Cha Mapinduzi Peter Dalali Kafumu, aliyefanikikwa kushinda kiti hicho kwa kura 26000, lakini Mahakama kuu imetengua Ubunge wake.

No comments:

Post a Comment