Friday, August 24, 2012

SIKU YA HUKUMU YA DR. DALALI PETER KAFUMU

Wananchi wa Wilaya ya Nzega wakiwa nje ya mahamaka ya Kuu wakisikiliza hukumu ya kesi ya kupinga  matokeo ya uchaguzi Jimbo la Igunga

Wananchi wakisubiri kuanza kwa kesi ya kupinga matokeo yaliyompatia ushindi Dr. Kafumu Dalali

Wapenzi na mashabiki wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo [CHADEMA] Wakishangilia baada ya Mahakama Kuu Kanda ya Tabora kutengua matokeo ya uchaguzi Jimbo la Igunga.


Mashabiki wa chadema wakiondoka katika eneo la Mahakamani

No comments:

Post a Comment