Sunday, April 27, 2014

CCM WILAYA YA TABORA MJINI WAADHIMISHA MIAKA 50 YA MUUNGANO KWA VITENDO!!!

Mjumbe wa kamati ya Siasa ya Chama cha Mapinduzi wilaya ya Tabora Bw.Emmanuel Mwakasaka akibeba udongo kwa ajili ya kuwasogezea mafundi katika ujenzi wa ofisi za chama hicho kata ya Kitete ikiwa ni sehemu ya kusherehekea Maadhimisho ya miaka 50 ya Muungano.
Baadhi ya viongozi wa CCM wilaya ya Tabora ambao walishiriki shughuli za ujenzi wa ofisi za CCM kata ya Kitete
Katibu wa siasa na uenezi wa CCM wilaya ya Tabora mjini Bw.Rashid Ramadhani au maarufu Kamanda Tolu

No comments:

Post a Comment