Tuesday, April 15, 2014

KANISA LA T.A.G TABORA WASHEHEREKEA MIAKA 75


Maandamano ya maadhimisho ya miaka 75 ya Kanisa la TAG nchini ambayo yamefanyika mjini Tabora kuanzia uwanja wa Ally Hassan Mwinyi hadi kanisa la TAG jirani na hospitali ya mkoa wa Tabora Kitete.
Baadhi ya waumini walioshiriki maandamano hayo ya amani wakisheherekea maadhimisho hayo mjini Tabora.
Maandamano ya maadhimisho ya miaka 75 yalipewa ulinzi wa kutosha na Jeshi la Polisi ambapo usalama ulikuwa wa kuridhisha.

No comments:

Post a Comment