Friday, April 25, 2014

MAZISHI YA DC CHANG'A YALIVYOKUWA

Utaratibu  wa mazishi  ukiwekwa
DC Mwamoto kulia na DC Warioba  wakiwa msibani hapo
DC Mwamoto akiweka  sahii kitabu cha maombolezo .
Spika Makinda akitoa  mkono wa pole kwa wafiwa
Spika Makinda  kulia akimpa pole waziri Hawa Ghasia
Spika Makinda  akiwapa pore  wafiwa
Spika  wa bunge Anne Makinda akiwa amepiga magoti  kuwapa  pole  wafiwa katika msiba wa aliyekuwa DC wa kalambo Moshi Chang'a leo mjini Iringa
Waombolezaji  wakiwa katika msiba  huo  .
Spika wa bunge Anne makinda akisaini kitabu cha maombolezo ya DC Chang'a .
WAZIRI wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Hawa Ghasia akisaini kitabu  cha maombolezoo ya  aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Kalambo Moshi Mussa Chang'a leo nyumbani kwake mjini Iringa kabla ya mazishi  yaliyofanyika makaburi ya Mtwivila 
Spika Anne Makinda akiteta  jambo na waziri Hawa Ghasia  .
Mwanahabari  Eliasa Ally Chang'a( kulia)  ambae ni ndugu na DC Chang'a akiwa na waombolezaji  wengine Msafiri Mtandi kushoto na Said kalinga katikati
Mwenyekiti  wa CCM Kilolo Sety Mwamoto kulia  akiwa na mdau
mfanyabiashara  mkubwa Iringa Pilly MOhamed  akisainia kitabu cha maombolezo
Mkuu wa mkoa  wa Iringa Dr Christine Ishengoma akisaini kitabu cha maombolezo ya aliyekuwa mkuu wa wilaya ya kalambo Rukwa marehemu Moshi  Chang'a wanaoshuhudia ni mkuu wa wilaya ya Kilolo Gerald Guninita kushoto na mkuu wa wilaya ya  Iringa Dr Leticia Warioba katikati ,hapa ni nyumbani kwa marehemu eneo la Kihesa mjini Iringa
RC Mbeya Bw kandoro  akiwapa pole  wafiwa
Mke wa mkuu wa mkoa wa Mbeya akisaini kitambu cha maombolezo ya Dc Chang'a
Mkuu wa mkoa wa Mbeya akiweka saini kwenye kitabu cha maombolezo
Waombolezaji  na ndugu  wakiwa katika viwanja vya maombolezo  
Mwenyekiti wa CCM Iringa mjini Abed Kiponza akitoa  salam za chama
Kiponza akiteta jambo na mkuu wa mkoa wa Mbeya Abas Kandoro  
Mbunge Msigwa akiwa na mwenyekiti wa CCM Iringa mjini Abed Kiponza
Mbunge wa jimbo la Iringa mjini mchungaji Peter Msigwa akitoa  salama zake na za Chadema pamoja na ubani wa TSh 100,000
Vijana  wa  CCM wakiweka mambo  sawa
Wakuu wa  wilaya  mbali mbali nchini  wakiwa  wameubeba mwili wa DC mwenzao Moshi Chang'a .
Mkuu wa wilaya ya Kibondo Venance Mwamwoto  kulia akishirikiana na mkuu wa wilaya ya Mwanza  kukunja bendera  iliyotumika kufunika mwili wa DC Chang'a
Kada wa CCM Iringa mjini Frederick Mwakalebela akishiriki msiba  huo
Wakuu wa wilaya na wananchi  Iringa  wakiwa  wamebeba mwili wa Dc Chang'a mjini Iringa .
Mwili wa DC Chang'a ukipelekwa msikiti wa Mwanchang'a Kihesa
Waombolezaji  wakielekea msikitini  .
Umati wa wananchi  wakielekea makaburi ya Mtwivila  
Msafara  wa kutoka nyumbani kwa DC Chang'a kwenda msikitini
msaidizi wa Rais Jakaya Kikwete katika masuala ya siasa Ikulu Rajab Luhwavi kushoto akiwa na mkuu wa wilaya ya Kilolo Gerald Guninita kulia  wakati wakielekea kumzika Dc Chang'a leo mjini Iringa .

No comments:

Post a Comment