Tuesday, April 15, 2014

MAHAFALI YA 18 CHUO CHA UTUMISHI WA UMMA TABORA NA SINGIDA




Mgeni Rasmi akikabidhi zawadi mbalimbali kwa wahitimu waliofanya vizuri katika vitengo vyao.
Maandamano kuelekea ukumbini yakiongozwa na mgeni rasmi Mh. Celina Kombani aliyevaa Joho jekundu.

Viongozi ngazi za juu Chuo cha Utumishi wa Umma nchini
Mtendaji mkuu Chuo cha Utumishi wa Umma TPSC nchini Bw.Said Nassor akizungumza mikakati endelevu ya Chuo hicho wakati wa mahafali hayo.

No comments:

Post a Comment