Friday, December 20, 2013

DR.SLAA AWATAKA WANATABORA KUAMKA WAKATI RASILIMALI ZA TAIFA ZINATAFUNWA!!!


Katibu mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema Dr.Willibroad Slaa akizungumza na wananchi katika mkutano wa hadhara mjini Tabora uliofanyika viwanja vya Shule ya Sekondari ya Uyui.
Baadhi ya wananchi wa mjini Tabora ambao walihudhuria mkutano wa hadhara wa Chadema pamoja na bibi huyo hakuwa nyuma kusikiliza Dkt slaa .

Mwenyekiti wa Chadema mkoa wa Tabora Bw.Kansa Mbaruku akizungumza na wananchi katika mkutano wa hadhara wa Chama hicho.
Baadhi ya wananchi wakiwemo wafuasi wa Chadema wakiwa katika mkutano wa hadhara viwanja vya Shule ya Sekondari ya Uyui mjini Tabora.
Gari la Katibu mkuu wa Chadema Dr.Willibroad Slaa likiwa na ulinzi mkali likiondoka viwanja vya Shule ya Sekondari Uyui mjini Tabora.

No comments:

Post a Comment