Wednesday, December 18, 2013

SOKO LA HISA LA DAR-ES-SALAAM LAPIGA HODI KWA WAFANYABIASHARA MKOANI TABORA


Meneja Miradi wa  Soko la hisa la Dar-es-Salaam  Bw.Magabe Maasa na meneja mkuu wa soko la hisa la dar Juventus Simon akizungumza na waandishi wa habari wa mkoa wa Tabora wakati wa ufafanuzi wa malengo ya Soko la hisa la Dar-es-salaam lilivyoamua kutembelea mikoa mbalimbali nchini kwa lengo kufanya Semina kwa wafanyabiashara kuhusu faida za uwekezaji kupitia ununuzi wa hisa kwenye mashirika na makampuni makubwa nchini.
Mkuu wa wilaya ya Tabora Sulemani Kumchaya aliyevaa miwani mstari wa mbele akiwa na maafisa wa Soko la hisa la Dar-es-salaam DSE pamoja na baadhi ya wafanyabiashara wakati wa semina ya siku mbili iliyofanyika katika ukumbi wa Golden Eagle mjini Tabora.

No comments:

Post a Comment