Wednesday, December 4, 2013

TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA SHIRIKA LA PSI TANZANIA KWA MKOA WA TABORA KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA UKIMWI KWA MWAKA 2013.


KAIMU MKUU WA WILAYA YA URAMBO SAVERI MAKETA AKISIKILIZA VIONGOZI WA PSI WALIOPO PICHA JUU YA KAZI WANAZIFANYA KUELIMISHA JAMII JUU YA SWALA ZIMA LA KUTOA ELIMU YA UKIMWI MKOANI TABORA





Utangulizi:-


Psi – Tanzania nishirikalisilokuwa la kiserikalilinalofanyashughulizakekwakushilikiananaWizarayaAfyakatikaprogrammumbalimbaliambazoni;-

·         MapambanodhidiyaUkimwinaVirusivyaukimwi.

·         Uzaziwampango.

·         Kuzuiamagonjwayatumbonakuhara.

·         Mapambanodhidiya Malaria.

Kupitiaprogrammuhizo shirika linafanyakazi kwa kushirikiana na wadau mbalimbali pamoja na vitengo mbalimbali katikaWizara vinavyo husika na programmu hizo.Kutokananaprogrammuhizoshirikalinafanyashughulizakekatikakuhakikishamagonjwahayoyanakuwahistoriakatikakila kaya naTaifakwaujumla,katikakufanyahivyobasihuwatunafanyashughulizifuatazo:-

·         Kutoaelimukwanjiayasinemajuuyaprogrammuzaafyatunazofanyiakazi.

·         Kubandikamabangoyenyeujumbezakupiga vita magonjwahayo.

·         Kutoaelimukwenyemabaakuhusuukimwinamatumizisahihiyakondomu (Bar promotions/Salama Nights).

·         Mauzoyabidhaambalimabalizaafyamfano:-

1.       Vifaakingadhidiyaukimwi mf Salamakondomu

2.       Bidhaazauzaziwampango

3.       Dawazakuuavijidudukatikamaji (Waterguards)



MAPAMBANO DHIDI YA UKIMWI:-

Katikamapambanodhidiyaukimwi Psi Tanzania kwakushirikiananaWizarayaAfyanawadauwengineinafanyashughulimbalimbalikatikakuhakikishakuwaugonjwahuuunatokomezwakabisakatikamkoawetunchiyetukwaujumla.Katikakuhakikishahilotunafanyayafuatayo:-

·         Kutoaelimukwajamiikupitiasinemaambazozinatoamafunzokatikakubadilishatabiazawatunamitizamoyaojuuyaugonjwahuu.

·         Kutoaelimukwenyemabaajuuyaugonjwahuupamojanaelimujuuyamatumizisahihiyakondomu.

·         Kuuza/Kuuzavifaakingakwaajiliyakujikinganaugonjwahuuyaanimipiraya kike nakiume.





i) Utoajiwaelimukwajamiikupitiasinema.

Psi Tanzania hufanyashugulizakezakuelimishajamiikwanjiambalimbaliikiwemonjiayakuoneshasinemaambazohutoaujumbejuuyanamnayakujikingaamakujiepushanaugonjwawaukimwi.Katikamwakahuukwamkoawamzimawa Tabora tumewezakuoneshasinemazenyeujumbejuuyaugonjwawaukimwikatikawilayazotezamkoanatakribanimaeneo 60 yavijijina kata mbalimbaliyamewezakufikiwanakuelimishwatokaJanuary mpakaNovembamwakahuu.

ii)Utoajiwaelimukwenyemabaa.

Shirika la Psi Tanzania piahufanyashughulizakuelimishawanajamiihasakwenyemabaawakiwemowatejanawahudumujuuyamatumizisahihiyakondomupamojaugonjwawaukimwi.

iii)Usambazajinauuzajiwavifaakinga.

Katikakutoahudumahiishirikauuzanakutoakwenyebaadhiyaasasimipiraya kike nakiumekwaajiliyakujikinganaugonjwawaukimwi.KwamwakahuumpakamweziNovembatumewezakusambazakiasi cha pakitizamipirayakiumemkoamzimakatikamgawanyoufuatao:-

·         Mipirayakiumepakiti 825,000zimetolewaburekwamakundimaalumuhasawaathirikakatikawilayazote

·         Mipirayakiumepakiti 1,533,600zimeuzwakwenyemadukayadawanavyakula

Psi Tanzania inatoashukranizadhatikwauhirikianomzuriinaoupatakutokaWizarayaafya ,wadaumbalimbalipamojanaofisiyaMgangamkuumkoa,wagangawakuuwawilayazote,piawakiwemowaratibuwaukimwiwawilayazotenawanajamiikwaujimla.

Tukumbukekwamba:-



“TANZANIA BILA YA MAAMBUKIZI MAPYA, UNYANYAPAA NA VIFO VITOKANAVYO NA UKIMWI INAWEZEKANA”



NB:Maadhimishoyasikuyaukimwikimkoayamefanyika kata yaUsisyawilayaniUrambomkoaniTabora,ambapomgenirasmialikuwamkuuwawilayayaUrambo.

Psi Tanzania kamamdauwamapambanodhidiyaukimwiilishirikikikamilifukufanikishasikuhiyo.

No comments:

Post a Comment