Wednesday, March 20, 2013

CHUO CHA MUSOMA UTALII CHAIPIGA TAFU TIMU YA RHINO FC

 

 Mkurugenzi wa Chuo cha Musoma Utalii Tabora Shabani Mrutu akikabidhi msaada wa shilingi mil.moja kwa kiongozi wa timu ya Rhino Fc Hajin Kubeja ambayo inatarajiwa kuanza kucheza ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara kwa msimu ujao,aidha Mkurugenzi huyo ameahidi kuendelea kutoa msaada kwa timu hiyo.

No comments:

Post a Comment