Wednesday, March 20, 2013

MAAFISA KILIMO WAGEUKA WAZURULAJI TABORA"WAILILIA SERIKALI KWA KUWAWEKEA VIKWAZO KATIKA AJIRA"

 

 

Baadhi ya maafisa kilimo  na  mifugo  wakiwa mitaani  baada  ya  kukosa ajira Serikalini,Imeelezwa  kuwa  wamejaribu  pia kutafuta ajira kwenye mashirika binafsi lakini wamekataliwa kwa kigezo kuwa mashirika hasa yanayojihusisha na ununuzi wa zao la tumbaku yamepigwa marufuku na serikali kuajiri maafisa kilimo waliosomeshwa kwa gharama  za serikali na hivyo kwasasa maafisa hawa wamejikuta kila siku wakizurula mitaani pasipo ajira. 

No comments:

Post a Comment