Wednesday, March 20, 2013

UJENZI WA CHUO CHA MUSOMA UTALII TABORA WAENDELEA VIZURI


 Sehemu ya Jengo la utawala katika Chuo cha Musoma Utalii kilichopo mkoani Tabora ambacho kimejengwa kata ya Ipuli mjini Tabora,mara baada ya kukamilika chuo hicho kinatarajia kuongeza idadi ya wanafunzi.
Mkurugenzi mtendaji wa Chuo cha Musoma Utalii Bw.Shaban Mrutu akitembelea na kuangalia maendeleo ya ujenzi wa Chuo hicho unaoendelea kwa kasi huku ikikadiriwa kuwa huenda chuo hicho kikafunguliwa kati ya mwezi Juni na Julai.

No comments:

Post a Comment