Wednesday, March 20, 2013

TABORA TUNAJIPENDA NA RHINO YETU...LIGI KUU HIYOOOOOO LIGI KUU VODACOM"

 

Mmoja kati ya wachezaji wa Rhino akibebwa na washabiki baada ya mechi kali dhidi ya Polisi Dom

Baadhi ya mashabiki wa Rhino wakiwa jukwaani wakishangilia timu yao katika mtanange kati ya Rhino na Polisi Dom.

Baadhi ya watangazaji wa Radio CG FM ya hapa mkoani Tabora wakitangaza mechi kati ya Rhino na Polisi Dodoma ambapo Rhino iliicharaza Polisi bao moja kwa sifuri katika uwanja wa Ally Hassan Mwinyi mjini Tabora

No comments:

Post a Comment