Sunday, September 29, 2013

"KIWANDA CHA NYUZI TABORA KINAKABILIWA NA UCHAFU WA MAZINGIRA,NI HATARISHI KWA WATUMISHI"

 

Mmoja kati ya wafanyakazi wa kiwanda cha nyuzi Tabora ambaye ni mjamzito amekutwa akifanya kazi huku akiwa amekaa chini  kulingana na mazingira mabaya ya kikazi ambapo pamoja na watumishi kudai maslahi bora lakini bado wamekuwa wakifanya kazi katika mazingira magumu.
Naibu Waziri wa viwanda na biashara Bw.Gregory Teu akimuhoji Meneja wa kiwanda cha nyuzi Tabora kuhusu uendeshaji wa kiwanda hicho ambacho kwasasa kimekuwa kikikabiliwa na mazingira yasiyostahili huku yakitishia usalama wa watumishi wa kiwanda hicho.
Mmoja kati ya watumishi wa kiwanda cha nyuzi



No comments:

Post a Comment