Tuesday, August 20, 2013

SITTA;"TANZANIA HAIWEZI KUPATA KATIBA NZURI MPAKA WANANCHI WATAKAPOKUBALI KUWA WAZALENDO KWA NCHI YAO"


 

Waziri wa Afrika Mashariki Bw.Samwel Sitta akizungumza wakati wa kikao cha baraza la Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa CCM mkoa wa Tabora,ambapo aliwataka  vijana kuwa wazalendo kwa kuipenda nchi yao kwa kuonesha msimamo wao wa kutowakubali watu wanaotaka madaraka kwa kutumia fedha walizonazo.
Mwenyekiti wa UVCCM mkoa wa Tabora Bw.Seif Ghulamali alizungumzia hali mbaya ya kiuchumi inayoikabili Jumuiya hiyo kiasi cha kukosa hata fedha za kuendesha shughuli zake za kiofisi katika kuwahudumia wanachama wake.

No comments:

Post a Comment