Sunday, February 17, 2013

AUAWA KWA KUIBA MAHINDI MATATU -KILOLENI TABORA


 Baadhi ya wakazi wa kata ya Kiloleni manispaa ya Tabora wakishuhudia mwili wa mtu mmoja aliyekutwa amekufa baada ya kujeruhiwa vibaya kwa silaha zenye ncha kali na kusababisha kifo chake huko eneo la Ikindwa ambapo imedaiwa kuwa alikuwa akiiba mahindi katika moja ya shamba la mahindi.
 Mmoja kati ya askari Polisi mpelelezi wilaya ya Tabora PC Setty  akijaribu kupekua mwili wa mtu huyo ambaye imedaiwa kuwa alikuwa ameiba mahindi matatu.

No comments:

Post a Comment