Wednesday, February 20, 2013

MTOTO AHISIWA KUFA MAJI KWENYE MFEREJI WA MAJI MACHAFU KATA YA ISEVYA TABORA MJINI.

 Baadhi ya askari wa kikosi cha zimamoto mjini Tabora wakiwa katika harakati za kumtafuta mtoto aliyezama katika mfereji wa maji machafu kata ya Isevya manispaa ya Tabora,imeelezwa kuwa mtoto huyo alizama kwenye maji yaliyosababishwa na mvua kubwa iliyonyesha leo asubuhi,hadi sasa zoezi la kumtafuta mtoto huyo bado linaendelea ingawa hakuna mzazi aliyejitokeza kuwa amepotelewa na mtoto wake. 

No comments:

Post a Comment