Monday, February 4, 2013

SEMINA YA PSPF CHUO CHA UALIMU TABORA



 Wanachuo wa chuo cha ualimu mkoani Tabora,wakisikiliza mada kwenye simina iliyoendeshwa na PSPF hivi karibuni.
 Afisa Mfawidhi wa mfuko wa PSPF,Lupakisyo Mwaipungu,akitoa mada kwenye semina iliyofanyika chuo cha ualimu Tabora.

 Victor Luvena,akitoa mada kwenye semina iliyoendeshwa na mfuko wa PSPF ambayo ilifanyika chuo cha ualimu Tabora.

 Mmoja wa wanachuo cha ualimu mkoani Tabora,akiuliza swali kwenye semina hiyo.



No comments:

Post a Comment