Saturday, February 23, 2013

MONTAGE CHARITY BALL YAENDELEA KUFANYA VIZURI USIKU HUU NDANI YA HOTELI YA SERENA

 

 Mkurugenzi Wa Kampuni ya Montage Bi Teddy Mapunda akifungua tafrija ya Kuchangisha Pesa kwaajili ya Wanawake wenye matatizo kwa Kumkaribisha Mgeni Rasmi ambaye pia Ni Mwenyekiti wa WAMA na Mke wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Salma Kikwete katika hafla inayofanyika Usiku huu katika Hoteli ya Serena
 Mwenyekiti wa WAMA na Mke Wa Raisi Wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Salma Kikwete akitoa neno wakati alipokaribishwa kusema chochote kama mgeni rasmi katika hafla ya kuchangisha pesa kwaajili ya wanawake Tanzania iliyoandaliwa na kampuni ya Montage Limited inayofanyika Usiku Huu katika Hoteli ya Serena
 Baadhi ya Wahudhuriaji wa Hafla hiyo
Msanii Kutoka Nchini Tanzania Barnaba akitumbuiza katika hafla ya kuchangisha pesa kwaajili ya wanawake Tanzania hafla inayoendelea kufanyika katika Hoteli ya Serena Usiku Huu

No comments:

Post a Comment