Sunday, June 30, 2013

DIAMOND ALIVYOWAPAGAWISHA WANYAMWEZI PALE ALLY HASSAN MWINYI

Rommy J akiwagongeshea miutamu
Ni shangwe kila kikitoka kitu kinaingia kitu
full mang'ang'aaaaaa! Shangweeeeee
Nyomi hii ilihappen maeneo ya uwanja wa Ally Hassan Mwinyi-Tabora
ikiwa ni sho ya pili toka ipigwe ile ya usiku wa 28-06-2013 ndani ya ukumbi maarufu kwa jina la Frankman Palace na ilikuwa PALACE kweli 

No comments:

Post a Comment