Thursday, June 6, 2013

WATOTO TABORA WAPATA SEHEMU YA BURUDANI "AMOUR CHILDREN PARK IPO KILOLENI JIRANI NA GODOWN LA TFC"



Amour Children Park ipo eneo Kiloleni nyuma ya Godown la TFC,hapa watoto wanapata burudani za aina mbalimbali na huku wakiwa katika mazingira salama kabisa,

Huduma ya burudani zote hizi zinatolewa kila Ijumaa,Jumamosi na Ijumaa lakini pia kwa mtu yeyote anayetaka kusheherekea siku ya kuzaliwa kwake anakaribishwa na atalipia gharama nafuu kabisa.


No comments:

Post a Comment