Saturday, June 1, 2013

MWAKASAKA AKUSUDIA KUIBUA VIPAJI VYA VIJANA KATIKA MICHEZO TABORA

Mjumbe wa kamati ya uchumi na Fedha jumuiya ya Wazazi mkoa wa Tabora ambaye pia ni Mwanasheria ya kujitegemea Bw.Emmanuel Mwakasaka akikabidhi vifaa vya michezo Jezi na mipira kwa Jumuiya ya Umoja wa Vijana kata ya Kiloleni manispaa ya Tabora kwa ajili ya kusaidia kuibua vipaji vya vijana katika Soka,Vifaa hivyo vilipokelewa na Meya wa Manispaa ya Tabora Bw.Ghulam Dewij.
Bw.Emmanuel Mwakasaka Kada wa CCM


No comments:

Post a Comment