Wednesday, July 24, 2013

MWENGE WA UHURU WAWASILI TABORA KWA NDEGE KUTOKA RUKWA

MKUU WA MKOA WA TABORA AKIKABIDHI MKIMBIZA KWENGE WA UHUU KWA AJILI YA KUANZA MBIO HIZOM KATIKA MKOA WA TABORA BAADA YA KUPOKEA KUTOKA MKOA WA RUKWA
MKUU WA MKOA WA TABORA FATMA MWASSA AKIWA KATIKA VAZI LA SCAUT AKISOMA TAARIFA YA MWENGE YA MKOA MARA BAADA YA KUUPOKEA MWENGE HUO KUTOKA KWA MKUU WA MKOA WA RUKWA .
MKUU WA WILAYA YA KALAMBO MKOA WA RUKWA MUSA MOSHI CHANG'A AKIWA NA AFISA MIRADI WA ASASI ISIYOKUWA YA KIRESKALI YA TDFT DEO KAHUMBI KATIKA MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU

MKUU WA MKOA WA RUKWA ENG STELLA MAYANYA AKIMKABITHI MWENGE WA UHURU MKUU WA WA TABORA FATMA MWASSA KATIKA MAPOKEZI YALIYOFANYIKA KWENYE UWANJA WA NDEGE WA TABORA


VIONGOZI WA NKOA WA RUKWA WAKIWASILI KATIKA UWANJA WANDEGE WA  TABORA WAKIULETA MWENGE WA UHURU


Na Lucas Raphael,Tabora

Mkoa wa tabora jana uliupokea mwenge wa uhuru kutoka mkoa wa Rukwa ukiongozwa na mkuu wa mkoa huo Eng Sttela mayanya na kupokewa na mkuu wa mkoa wa tabora , Fatma Mwasaa katika uwanja wa ndege wa Tabora .


Mwenge huo katika mkoa wa tabora utakangua miradi mbalimbali ikiwa na thamani ya shilingi bilioni 10.4 katika sekta za Afya ,Elimu,maji,barabara na vikundi vya ushirika.

No comments:

Post a Comment