Friday, July 26, 2013

RC FATMA MWASSA AKEMEA RUSHWA SIKUKUU YA MASHUJAA TABORA


Mkuu wa mkoa wa Tabora Bi.Fatma Mwassa,kulia ni mkuu wa wilaya ya Tabora Bw.Suleiman Kumchaya na kamanda wa Polisi wilaya ya Tabora wakati wa maadhimisho ya Siku ya Mashujaa iliyofanyika kimkoa kwenye Mnara wa Kumbukumbu ya Uamuzi wa Busara manispaa ya Tabora.

Silaha za Jadi zilizowekwa na viongozi akiwemo mkuu wa mkoa wa Tabora kuzunguuka Mnara wa Uamuzi wa Busara  ikiwa ni hatua ya kumbukumbu ya Mashujaa.
Baadhi ya askari wa Jeshi la Wananchi waliohudhuria katika Maadhimisho hayo wakionesha ukakamavu wa hali ya juu.
Sherehe za Maadhimisho ya Siku ya Mashujaa hapa mkoani Tabora zilikuwa hivi.

No comments:

Post a Comment