Friday, January 25, 2013

BALOZI ZETU ZINAHITAJI KUJITEGEMEA:SPIKA MAKINDA


1Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akiwasili kwenye Ubalozi wa Tanzania DRC na kusalimiana na watendaji wa ubalozi huo baada ya kupokelewa na Kaimu Balozi Mhe. Hemed Mgaza (kushoto) Spika Makinda ameandamana na Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulizni na Usalama, Mhe. Mussa Azzan Zungu. Spika Makinda ameshauri kuwa wakati umefika kwa balozi zetu kuwezeshwa ili zijitegemee.
2Spika Anne Makinda akisalimiana na wafanyakazi wa Ubalozi
3Spika akisaini Kitabu cha wageni
4Makamu Mwenyekiti  Mhe. Zungu akisaini kitabu cha wageni
5Picha ya Pamoja na wafanyakazi
6Jengo la Ubalozi. Jengo hili lipo kando ya barabara kuu Kinshasa, eneo maarufu kwa biashara.
7
Wajumbe kaamati maalum wakiendelea na mkutano wa FP/ICGLR

No comments:

Post a Comment