Tuesday, January 1, 2013

WATANZANIA SASA WAFIKIA IDADI YA MIL.44.9 KUTOKA MIL.34.4


Rais Jakaya Kikwete ametangaza matokeo ya sensa ya watu na makazi, Watanzania waongezeka kutoka watu milioni 34.4 hadi kufikia watu milioni 44.9.

No comments:

Post a Comment