Friday, January 11, 2013

JK AZINDUA UJENZI WA MRADI MKUBWA WA MAJI TABORA


 Rais Jakaya Kikwete akipata maelezo ya ramani ya miundombinu ya maji mjini Tabora kutoka kwa mkurugenzi wa mamlaka ya maji safi na maji taka mjini Tabora Tuwasa,wakati wa uzinduzi wa ujenzi mradi mkubwa wa maji wenye thamani ya shilingi bilioni 7.5.
 Waziri wa maji Prof.Jumanne Maghembe akitoa maelezo kwa Rais JK wakati wa uzinduzi wa mradi huo wa maji katika mitambo ya bwawa la Igombe mkoani Tabora.

 Mkurugenzi wa mamlaka ya maji safi na majitaka mjini Tabora Tuwasa Injinia Mkama Bwire akitiliana saini ya mkataba wa ujenzi mkubwa maji mbele ya Rais Kikwete wakisimamiwa na Waziri wa maji Prof.Maghembe.

No comments:

Post a Comment