Tuesday, January 1, 2013

TUWASA WASHEREHEKEA MWAKA MPYA KWA KUKAMATA WEZI WA MAJI


 Baadhi ya maafisa wa Mamlaka ya maji safi na maji taka mjini Tabora Tuwasa wakiwa katika oparesheni ya kuwasaka watu wanaodaiwa kuiba maji ambapo walimkamata mkazi mmoja wa Kata ya Ipuli mtaa wa Nyerere anayefahamika kwa jina la Faston Byaba ambaye alikutwa amejiunganishia huduma ya maji kinyume cha sheria.

Mmoja kati ya mafundi wa Tuwasa akiwa amemkabidhi kifaa cha kuunganishia maji  mama aliyekutwa amejiunganishia huduma hiyo ya maji. 

No comments:

Post a Comment