Tuesday, September 25, 2012

MWENGE WAZINDUA NYUMBA BORA ICHEMBA





















DIWANI WA KATA YA ICHEMBA JOHN KADUTU WAKIINGIA NDANI YA NYUMBA NA KIONGOZI WA MBIO YA MWENGE WA UHURU 

KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE CAPT HONEST MWANOSSA  WAKIWA NA MKUU WA WILAYA YA KALIUA NA MBUNGE WA JIMBO LA URAMBO MAGHARIBI WAKIWA WAMEKAA KWENYE SOFA NDANI YA NYUMBA YA DIWANI WA KATA ICHEMBA 

MWENGE WA UHURU MARA BAADA YA KUWASILI KATIKA KUZINDUZI WA NYUMBA BORA KATIKA KATA YA ICHEMBA


MKUU WA WILAYA YA KALIUA SAVERI MAKETA AKIWA NA KIONGOZI WA MWENGE WA UHURU PAMOJA NA DIWANI WA KATA YA ICHEMBA JOHN KADUTU


KIONGOZI WA MWENGE WA UHURU CAPT HONEST MWANOSSA AKIKATA UTEPE WA NYUMBA BORA ILIYOPO KATIKA KATA YA ICHEMBA WILAYA KALIUA MKOA WA TABORA



KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE WA UHURU CAPT HONEST MWANOSAA AKIZUNGUA NYUMBA BORA KATIKA KATA YA ICHEMBA NA MBENI YAKE NI MWENYE NYUMBA HIYO NA DIWANI WA KATA HIYO JOHN KADUTU 

No comments:

Post a Comment