Tuesday, November 27, 2012

MSANII WA FILAMU ZA BONGO JOHN MAGANGA AZIKWA


 Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi CCM,  Nape Nnauye akitoa salam za Chama, kwenye msiba wa msanii, Joseph Maganga, Mwananyamala, Dar es salaam. Maganga alifariki Jumamosi hii
 Nape (kulia) akiwa kwenye msiba huo
  Msanii wa Bongo Movie,  Husna Maulidi 'Lishez', akituliwa na wenzake, Babby Candy na  Ketty wakati akilia kwa uchungu, wakati wa kuaga mwili wa Msanii wa Bongo Movie, marehemu  John Maganga
  Wasanii wa Bongo Movie wakibeba jeneza lenye mwili wa msanii mwenzao, John Maganga, wakati wa kuaga mwili huo, Mwananyamala, Dar es Salaam
 Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akimpa pole Stephen Maganga, baba wa msanii John Maganga wakati wa kuaga mwili wa msanii huyo, Mwananyama, Dar es salaam
Nape akizungumza na Rais wa Chama Cha Bongo Movie wakati wa msiba huo

No comments:

Post a Comment