Tuesday, November 27, 2012

NDEGE MPYA YA FASTJET YAZINDUA SAFARI ZAKE JANA



Ndege aina ya Airbus A319 ambayo itaanza safari zake tarehe 29 Novemba 2012 kwa safari za kutoka Dar es Salaam-Mwanza,Dar es Salaam kwenda Kilimanjaro. Na kiwango cha chini cha Nauli kitakuwa ni kiasi cha Shilingi za kitanzania 32,000/- kwa tiketi ya Kwenda peke yake.
Baadhi ya Abiria ambao walipata fursa ya kufanya majaribio ya safari ya Ndege ya Airbus A319 ya Shirika la ndege la Fastjet wakiwa ndani ya Ndege hiyo kabla ya Kuruka kuelekea Zanzibar kama sehemu ya Uzinduzi wa Ndege hivyo. Safari za ndege hiyo zitaanza rasmi tarehe 29 Novemba 2012 kwa safari za kutoka Dar es Salaam-Mwanza,Dar es Salaam kwenda Kilimanjaro. Na kiwango cha chini cha Nauli kitakuwa ni kiasi cha Shilingi za kitanzania 32,000/- kwa tiketi ya Kwenda peke yake.
Mmoja wa Wahudhumu wa Ndege ya shirika la Ndege la fastjet akiwaonyesha abiria namna ya kujifunga mikanda kabla ya Ndege kuondoka.Ndege hiyo itakuwa ikifanya kwa safari zake kutoka Dar es Salaam-Mwanza, Dar es Salaam kwenda Kilimanjaro.
Baadhi ya abiria wakishuka katika Ndege ya Shirika la Ndege la fastjet ambalo safari zake zimezinduliwa leo na zitaanza safari zake rasmi tarehe 29 Novemba 2012. Ndege hiyo itafanya safari zake za kutoka Dar es salaam-Mwanza, Dar es Salaam-Kilimanjaro.
Naibu Waziri wa Wizara ya Uchukuzi,Dk. Charles Tizeba, akitoa hutuba yake wakati wa Uzinduzi wa Safari za Ndege ya shiirika la Fastjet leo jijini Dar es Salaam. Ndege hiyo aina ya Airbus A319, itaanza safari tarehe 29 Novemba 20120 na itakuwa ikifanya safari zake kutoka Dar es Salaam-Mwanza,Dar es Salaam kwenda Kilimanjaro.
Naibu Waziri wa Wizara ya Uchukuzi,Dk. Charles Tizeba (aliyevaa tai nyekundu), akibadilishana mawazo na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya fastJet, Bw. Edward Winter kabla ya uzinduzi wa Ndege ya Shirika hilo leo jijini Dar es Salaam. Kushoto kwa Naibu Waziri wa Uchukuzi ni Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga(TCAA), Bw. Fadhili Manongi.

No comments:

Post a Comment