Thursday, November 29, 2012

WADAU WA TAKWIMU NCHINI WAKUTANA KATIKA KONGAMANO LA PILI LA MWAKA JIJINI DAR LEO

 Mkurugenzi wa Takwimu nchini, Morrice Oyuke, akisoma hotuba yake kumwakilisha Mkurugenzi Mkuu wa  TAKWIMU nchini Dkt.. Albina Chuwa, wakati wa kongamano la pili la mwaka la wadau wa TAKWIMU nchini lililofanyika leo jijini Dar es Salaam. 
 Mwakilishi kutoka Benki ya Dunia, Thomas Danielewitz, akitoa hotuba yake  leo jijini Dar es Salaam katika ufunguzi wa kongamano la pili la mwaka kwa  Wadau wa Takwimu nchini.  Kongamano hilo la siku moja limefunguliwa na Naibu Waziri wa Fedha Dkt. Saada M. Salum (hayupo Pichani).
 Baadhi ya washiriki  wa kongamano la pili  la mwaka unaowashirikisha  Wadau wa Takwimu nchini  wakimsikilza Naibu Waziri wa Fedha Dr. Saada M. Salum (hayupo pichani) katika ufunguzi wa kongamano hilo leo jijini Dar es Salaam.
 Naibu wa Wizara ya Fedha Dkt. Saada M. Salum akifungua kongamano la pili la mwaka kwa wadau wa Takwimu nchini leo jijini Dar es Salaam., ambapo amewasisitiza  wadau kutumia takwimu zilizo  sahihi. Picha na Mwanakombo Jumaa- MAELEZO

No comments:

Post a Comment