Sunday, November 25, 2012

NAPE,KINANA,KHATIB NA MWANRI WATUA TABORA GHAFLA LEO ASUBUHI


Kinana akimsalimia Fatma Mwasa, Wengine, Nape, Khatib na Mwanri.
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimsalimia viongozi wa mkoa wa Tabora alipotua kwa muda mkoani humo akiwa akitoka Rukwa kwenda Geita asubuhi hii
Mkuu wa mkoa wa Tabora, Fatma Mwasa akimkaribisha Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (kulia) akipotua kwa muda mkoani humo akiwa akitoka Rukwa kwenda Geita asubuhi hii

No comments:

Post a Comment