Mwenyekiti
wa CCM Taifa, Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akifungua kikao cha
Halmashauri kuu ya CCM Taifa mjini Dodoma leo usiku.Wengine katika picha
kutoka kushoto ni Rais Mstaafu awamu ya Tatu Benjamin William
Mkapa,Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar(SMZ) Dkt.Ali Mohamed
Shein,Rais Mstaafu wa Zanzibar Amani Abeid Karume, Katibu Mkuu wa CCM
Dkt.Wilson Mukama na kulia ni Makamu mwenyekiti CCM Bara Ndugu Pius
Msekwa.Ajenda kuu ya kikao hicho ni maandalizi ya mkutano Mkuu wa CCM
utakaoanza kesho.
Mwenyekiti wa CCM Taifa,Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akifungua mkutano wa Halmshauri Kuu ya CCM Taifa mjini Dodoma leo usiku.
Wajumbe
wa Halmashauri kuu ya CCM taifa,Mhe.Mama Salma Kikwete , Waziri wa
Mambo ya nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bernard Membe na Ridhwani
Kikwete wakijadiliana jambo muda mfupi kabla ya ufunguzi rasmi wa
mkutano wa Halmashuari kuu ya CCm taifa katika jengo la White House,
mjini Dodoma leo.
Baadhi
ya Wajumbe wa halmashauri kuu ya CCM Taifa wakati wa ufunguzi wa
Mkutano wa Halmshauri hiyo uliofanyika katika ukumbi wa White House leo
usiku mjini Dodoma.picha na Freddy Maro.
No comments:
Post a Comment