Huko Arusha timu ya Yanga ilikuwa
mgeni wa timu ya JKT Oljoro ya huko katika mchezo uliofanyika kwenye
uwanja wa Sheikh Amri Abeid, ambapo Yanga imeibuka na ushindi wa goli
moja lililofungwa na Mchezaji Mbuyu Twite
Sunday, October 28, 2012
SIMBA YAITUNGUA AZAM FC YA CHAMAZI MAGOLI 3-1 UWANJA WA TAIFA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment