Tuesday, December 18, 2012

HAFLA YA UZINDUZI WA BODI YA MFUKO WA BARABARA NA BODI YA WAKALA WA BARABARA

Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli akiongea wakati  akizindua  Bodi ya Mfuko wa Barabara na Bodi ya Wakala wa Barabara (TANROADS) Dec 17,12,2012 jijini dar es Salaam
Katibu Mkuu wa Uchukuzi na Mjumbe wa Bodi yaMfuko wa Barabara aliemaliza muda wake Mhandisi Omar Chambo akishukuru
Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko wa Barabara Dr, James Wanyancha akizungumza wakati wa  hafla ya uzinduzi wa Bodi ya mfuko wa Barabara na Bodi ya Wakala wa Bararabra (TANROADS) jijini Dar es salaam , Dec, 17, 2012.
Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli (kulia) akimpa zawadi Mjumbe wa Bodi ya mfuko wa Barabara aliemaliza muda wake kwa mujibu wa sheria za Bodi Mhandisi Omar Chambo (kushoto) ,Waziri Magufuli amemshukuru Mhandisi Omar Chambo. ambae pia  ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi pamoja na wajumbe wengine waliomaliza muda wao kwa mchango mkubwa walioutoa katika mfukona kuleta ufanisi,
Baadhi ya Wageni waalikwa waliohudhuria katika hafla ya uzinduzi wa Bodi hizo Dec,17, 2012 jijini Dar es salaam , ambapo mgeni rasmi alikuwa Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli (hayupo pichani)
Bodi ya Wakala wa Barabra (TANRROADS) (chinin ya mwenyekiti Hawa Mmanga ( waliokaa mwanamke)
Bodi ya Mfuko wa Mfuko wa Barabara chini ya mwenyekiti wake Dkt. James Wanyancha walioka (mbele kutoka kushoto).Picha na Mwanakombo Jumaa-MAELEZO.

No comments:

Post a Comment