Tuesday, December 18, 2012

ITIGI ,TABORA NI BALAA TUPU


Baadhi ya wasafiri wa mabasi ya NBS na SABENA kutoka Dar-es-salaam kuelekea Tabora wakisaidia kuyang'oa magari hayo yaliyokuwa yamezama kufuatia ubovu wa barabara ya Itigi - Tabora kuharibika kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika maeneo hayo.

No comments:

Post a Comment