Saturday, December 8, 2012

MWAKYEMBE AZINDUA TRENI YA ABIRA YA MWANZA HADI DAR



Waziri wa Uchukuzi,Dk. Harrison Mwakyembe akipeperusha bendera kuashiria uzinduzi wa kuanza tena kwa safari za treni ya abiria kwenda Mwanza.
Waziri wa Uchukuzi,Dk. Harrison Mwakyembe (wa pili kulia) akizungumza na Uongozi wa TRL na baadhi ya Wanareli mara baada ya uzinduzi wa treni kwenda Mwanza katika stesheni ya Dar.
Waziri wa Uchukuzi Dk Harrison Mwakyembe mwenye suti akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji Mhandisi Kipallo Aman Kisamfu kabla kuzindua safari ya treni ya abiria kwenda Mwanza leo mchana katika Stesheni ya Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment