Thursday, December 27, 2012

RAISI WA ZANZIBAR DK SHEIN AKUTANA NA WAJUMBE WA TUME YA UCHAGUZI YA ZANZIBAR

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar,Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar,(ZEC) Khatib Mwinyichande,akiongoza ujumbe wa Tume hiyo walipofika Ikulu Mjini Zanzibar,Kumuaga Rais kwa kumaliza muda wa kazi wa Tume hiyo jana.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar,Dk.Ali Mohamed Shein,akipokea Ripoti ya Tume ya Uchaguzi Zanzibar,(ZEC) kutoka kwa Mwenyekiti wake Khatib Mwinyichande,alipoongoza ujumbe wa Tume hiyo walipofika Ikulu Mjini
Zanzibar,Kumuaga Rais kwa kumaliza muda wa kazi wa Tume hiyo
jana.Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.

No comments:

Post a Comment